-------------------------------------------------------------------------------------------------
-------------------------------------------------------------------------------------------------
vijana wa O.F.A wakisikiliza kwa makini maelezo muhimu na maelekezo kutoka kwa kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Zanzibar Abdulghan Msoma alipokutana nao jana katika mazoezi kwenye viwanja vya nje vya mao tse tung
-------------------------------------------------------------------------------------------------
Kocha mkuu wa Taifa ya zanzibar Abdulghan Msoma akiwaelekea O.F.A baadhi ya mambo wanayotakiwa kuyafata na wanayotakiwa kutoyafanya ili kuwa mchezaji bora moja wapo ikiwemo heshima ndani na nje ya uwanja
-------------------------------------------------------------------------------------------------
Kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Zanzibar Abdughani Msoma jana alikutana na vijana wa Oranje football Academy wakati wa mazoezi ya kujiandaa na play-off U17
leo O.F.A wanaingia tena uwanjani kucheza mechi yao ya pili,
katika mechi ya kwanza O.F.A waliweza kuwatungua Simba Kids kwa goli 2-0