WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

.

.

.

.

.

.

MUDATHIR YAHYA

MUDATHIR YAHYA

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

SEIF ABDALLA "karihe"

SEIF ABDALLA "karihe"

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

www.ofaznz.net

Total Pageviews

Monday 8 June 2009

O.F.A YASHTUSHWA KUPOTEZA MECHI YA PILI MWISHONI MWA WIKI

Wachezaji njota wa O.F.A wakijitayarisha na mechi ya U-17 iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita na kupoteza mechi hio baada ya kufungwa na F.C Zanaco kwa magoli 2-1,
mechi ambayo imewashtua wengi kutokana na matokeo ambayo kwa upande mwingine yalichangiwa na kujiamini sana kwa wachezaji wake na kupelekea kupoteza mechi hio.
-------------------------------------------------------------------------------------------------