WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

.

.

.

.

.

.

MUDATHIR YAHYA

MUDATHIR YAHYA

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

SEIF ABDALLA "karihe"

SEIF ABDALLA "karihe"

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

www.ofaznz.net

Total Pageviews

Sunday 5 July 2009

ORANJE FOOTBALL ACADEMY MABINGWA KNOCK-OUT 2009

Captain wa Oranje Football Academy Nassor Nasir akipokea zawadi jana katika kiwanja cha Mao Tse Tung mara baada ya mchezo wao wa fainal dhidi ya F.C Arizona ambapo O.F.A iliweza kuibuka na ushindi wa mabao 2-1
-------------------------------------------------------------------------------------------------
Wa kwanza kutoka kulia ni Ramadhan Madundo kocha wa O.F.A akifuatiwa na Hussein Ali katibu Mkuu wa O.F.A wakifuatilia kwa karibu mchezo wa fainali jana wakiwa jukwaa kuu jana
katika kiwanja cha Mao Tse Tung, Viongozi hao wawili wa O.F.A pia ni viongozi wanaosimamia kamati ya maalum inayosimamia mashindano yote ya vijana Zanzibar
-------------------------------------------------------------------------------------------------
Mchezaji wa Oranje Football Aademy Muhene Majid akifuatiwa na mmoja wa kiongozi wa O.F. A kupokea zawadi zao baada ya kushinda mchezo wao Fainali ya knock-out jana katika kiwanja cha Mao Tse Tung.
------------------------------------------------------------------------------------------------