-------------------------------------------------------------------------------------------------
Wa kwanza kutoka kulia ni Ramadhan Madundo kocha wa O.F.A akifuatiwa na Hussein Ali katibu Mkuu wa O.F.A wakifuatilia kwa karibu mchezo wa fainali jana wakiwa jukwaa kuu jana
katika kiwanja cha Mao Tse Tung, Viongozi hao wawili wa O.F.A pia ni viongozi wanaosimamia kamati ya maalum inayosimamia mashindano yote ya vijana Zanzibar
-------------------------------------------------------------------------------------------------
Mchezaji wa Oranje Football Aademy Muhene Majid akifuatiwa na mmoja wa kiongozi wa O.F. A kupokea zawadi zao baada ya kushinda mchezo wao Fainali ya knock-out jana katika kiwanja cha Mao Tse Tung.
------------------------------------------------------------------------------------------------