WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

.

.

.

.

.

.

MUDATHIR YAHYA

MUDATHIR YAHYA

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

SEIF ABDALLA "karihe"

SEIF ABDALLA "karihe"

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

www.ofaznz.net

Total Pageviews

Thursday 13 August 2009

CHIPUKIZI WA ORANJE FOOTBALL ACADEMY KWENDA SUDAN BAADA YA KUPITA KATIKA MCHUJO WA MWISHO WA U-17


Mchezaji Chipukizi wa Oranje Football academy seif Abdalla(jezi kijani) amechaguliwa katika timu ya Taifa ya Vijana ya Tanzania U-17 inayokwenda Khartoum-Sudan katika michuano ya Challenge Cup u-17, kijana huyo mwenye uwezo mkubwa wa kusakata soka amechaguliwa katika mchujo wa mwisho ambapo ametangazwa kuwa katika kikosi cha nyota 20 wanaounda kikosi hicho cha U-17, kwa niaba ya O.F.A inamtakia mafanikio mazuri akiwa huko Sudan ambapo mbali na kuwa ni jukumu kwa Taifa bali pia atakuwa ni Balozi mzuri wa O.F.A






chipukizi wa O.F.A Seif Abdalla akiwa mazoezi na O.F.A.

Kila la kheri Seif .
-------------------------------------------------------------------------------------------------