Mchezaji Chipukizi wa Oranje Football academy seif Abdalla(jezi kijani) amechaguliwa katika timu ya Taifa ya Vijana ya Tanzania U-17 inayokwenda Khartoum-Sudan katika michuano ya Challenge Cup u-17, kijana huyo mwenye uwezo mkubwa wa kusakata soka amechaguliwa katika mchujo wa mwisho ambapo ametangazwa kuwa katika kikosi cha nyota 20 wanaounda kikosi hicho cha U-17, kwa niaba ya O.F.A inamtakia mafanikio mazuri akiwa huko Sudan ambapo mbali na kuwa ni jukumu kwa Taifa bali pia atakuwa ni Balozi mzuri wa O.F.A
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago