Matokeo ya michezo ya awali ya kuwania kombe la challenge inayofanyika nchini kenya jana timy ya taifa ya Zanzibar iliichapa burundi kwa mabao 4-0 katika kiwanja cha mumias.
katika pambano jingine la mfululizo wa mashindano hayo timu ya kilimanjaro stars ilipoteza mchezo wake wa kwanza baada ya kufungwa na uganda 2-0.
Kesho ndugu wawili Kilimanjaro stars na Zanzibar zitakabana koo katika kiwanja hicho cha mumias.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago