Timu ya taifa ya kilimanjaro stars imeifunga Zanzibar bao 1-0 katika mechi ya michuano ya kombe la challenge iliyofanyika leo katika uwanja wa mumias nchini kenya.
Mrisho Ngasa alifunga bao la ushindi katika kipindicha kwanza dakika ya 18.
Zanzibar na kilimanjaro stars zote zimecheza mechi 2 kila moja,kushinda mchezo mmoja na kushindwa mmoja na kila moja ikiwa na point 3.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago