Mchezaji Nyota na Kiungo wa kutumainiwa wa Oranje Football Academy ambae msimu uliopita 2009 alikuwa mchezaji bora wa mashindano ya knock-out Mudathir Yahya alilazwa hospitali ya Mnazi Mmoja leo asubuhi baada ya kusumbuliwa na tumbo.
akifatana na katibu mkuu wa Oranje Football Academy ndg Hussein Ali kiungo huyo hata hivyo hali yake iliendelea kuwa nzuri na kuruhusiwa kurejea nyumbani baadae jioni.
Kwaniaba ya viongozi na wachezaji wote wa Oranje Football Academy wanamtakia nyota huyo hali njema na kuwa katika hali yake ya kawaida.
.........................................................................................................................................................................
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago