Oranje Football Academy U/17 leo imeshinda bao 1-0 dhidi ya Zanaco katika mechi iliyotawaliwa ngumu pamoja na rafu nyingi.
zanaco wakitumia rafu nyingi mwanzo wa pambano hilo hadi mwisho walikubali kichapo cha bao 1-0 dhidi ya vijana wa O.F.A bao ambalo liliwekwa kimiani na Iddi Juma.katika pambano hilo hakuna mchezaji yeyote wa O.F.A aliepata majeruhi ingawaje kulikuwa na machovu makubwa vijana kutokana na pambano hilo.
U/17 watajitupa tena kiwanjani siku ya jumapili tarehe 30-05-2010 kwa kupambana na Kipigo F.c
..................................................
Katika pambno jingine U/14 wa Oranje Football Academy wakitandaza soka ya uhakika leo wameweza kuendeleza wimbi la ushindi baada ya kuitwanga African Boys mabao 3-1.
Mabao ya U/14 yalipachikwa na Msabah Sleiman,Sleiman Abdulhamid ali, na Moh'd Omar.
jumapili tarehe 30-05-2010 U/14 watakuwepo tena kiwanjani kuumana na F.c Ngema.
.........................................................................................................................................................................
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago