..................................................................................................................................
anelka akichuana na godin katika pambano la leo
...........................................................................................................................................................
...........................................................................................................................................................
Katika pambano la pili la group A timu ya France imetoka sare bila kufungana na Uruguay.
kwa matokeo hayo yanafanya timu zote 4 za group A kuwa na point 1 kila moja huku south africa pamoja na mexico wakiwa juu ya msimamo kutokana na kila mmoja kuwa na bao moja la kufunga ambapo france na uruguay zikiwa hazina bao hata moja.