..........................................................................................................................................
Nyota wa oranje football academy Khalifa akishikilia kombe la ubingwa wa soka wa U/17 ambao vijana wa O.F.A walikabidhiwa hivi karibuni katika uwanja wa mao tse tung.
pamoa na wachezaji wa mabingwa wa soka O.F.A wakiwa na makombe waliyo yatwaa msimu huu pichani wakiwa katika ofisi ya O.F.A pamoja na katibu mkuu wa kituo hicho cha kukuza soka kwa vijana nchini ndg Hussein.
..................................................................................................
..................................................................................................