Timu ya Inter Milan jana ikiwa katika form yake ya msimu uliopita kwa mara ya kwanza msimu huu ikicheza kwa kushambulia kwa kasi na wachezaji wote kuwa katika hali nzuri waliweza kuichapa timu ngumu ya Palermo mabao 3-1 katika pambano kali la fainali la copa italia,
mabao ya Inter yalifungwa na eto'o x 2 na Milito katika dakika ya 90' ambapo bao pekee la Palermo lilifungwa na Munoz katika dakika ya 88'.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago