Bao la kujifunga mwenyewe lililofungwa katika dakika ya 30'na Peter Crouch wa Tottenham Hotspur lililota kuwawezesha Manchester City kutimia nia yao ya kucheza Eufa Champions league msimu ujao.
Hio itakuwa ni mara ya kwanza kwa City kucheza katik mashindano hayo makubwa kuliko yote barani ulaya.
Wakati huohuo katika pambano la nusu fainali ýa Coppa Italia kati ya Palermo na ac milan.
Palermo ilitinga nusu fainali baada ya kushinda mabao 2-1.
mabao ya palermo yalifungwa na Migliaccio 63'na Boo 73'penalti, bao la Ac Milan lilifungwa na Ibrahimovic dakika ya 90'.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago