Lile pambano la kiporo kati ya U16 ya Oranje Football Academy dhidi ya Azam Znz lililo lililofutwa wiki iliyopita kutokana na mvua kali zilizokuwa zikinyesha sasa litachezwa leo katika kiwanja cha Nyuki saa 10:00 jioni.
Wakati huohuo Wakubwa zao wa U20 watajitupa kiwanja cha Hanyegwa Mchana siku ya tarehe 12-05-2011 kupambana na New Stars pambano ambalo litafanyika saa 10:00 jioni.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago