Oranje Football Academy U20 itajitupa katika Uwanja wa Mao Tse Tung siku ya Ijumaa jioni kupambana na Msumbiji F.c katika michuano ya kombe la mtoano la siku ya Mazingira Duniani ambapo mgeni rasmi wa pambano hilo atakuwa ni Waziri wa Michezo wa Zanzibar Mh Abdilai Jihad Hassan.
Katika Michuano hio itafikia kilele chake siku ya Mazingira Duniani siku ambayo huadhimishwa Duniani kote
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago