Rais huyo wa fifa ambaye ameleta mabadiliko mengi ya soka duniani iliwemo kupeleka fainali za Kombe la Dunia barani Asia na Africa pia amechangia kiasi kikubwa katika maendeleo ya soka Duniani pamoja na mpango wake wa kufungua vyuo vingi vya soka kwa vijana katika mabara yote pia kutoa ushirikiano mkubwa kwa viongozi wa soka kwa nchi mbalimbali Duniani.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago