Katika mechi ya mwisho ya ligi hatua ya makundi juzi Oranje Football academy U20 iliitungua timu ngumu ya Mahonda Union kwa bao 1-0 katika mechi iliyochezwa katika kiwanja cha Mao tse tung.
Bao la ushindi la U20 lilipachikwa na Khalifa Sleiman katika mechi hio iliyokuwa nzuri kwa muda wote kwa pande zote.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago