WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

.

.

.

.

.

.

MUDATHIR YAHYA

MUDATHIR YAHYA

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

SEIF ABDALLA "karihe"

SEIF ABDALLA "karihe"

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

www.ofaznz.net

Total Pageviews

Wednesday 22 June 2011

U20 YAICHAPA MAHONDA UNION 1-0

Katika mechi ya mwisho ya ligi hatua ya makundi juzi Oranje Football academy U20 iliitungua timu ngumu ya Mahonda Union kwa bao 1-0 katika mechi iliyochezwa katika kiwanja cha Mao tse tung.
Bao la ushindi la U20 lilipachikwa na Khalifa Sleiman katika mechi hio iliyokuwa nzuri kwa muda wote kwa pande zote.