Katika pambano kali la ligi ya vijana chini ya umri wa miaka 16 chipukizi wa Oranje Football Academy U16 mwishoni mwa wiki iliyopita iliichapa Villa Real mabao 2-1 katika pambano lililochezwa katika viwanja vya Aman nje.
katika pambano hilo U16 ilipachika mabao yao kupita kwa mshambuliaji wake mkali anaechipukia kwa kasi kubwa katika safu ya kupachika mabao Moh'd Omar na bao jingine liliwekwa wavuni na Farid Sleiman.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago