Angola imeanza kwa kishindo mashindano ya Africa Nations Cup 2012 baada ua kuifunga Bukina Faso mabao 2-1 katika kundi B.
mabao ya Angola yalifungwa na Mateus katika dakika ya 48' na Manucho katika dakika ya 68' wakati lile la Bukina Faso lilifungwa na Traore katika dakika ya 57.
Angola inaongoza kundi B juu ya Ivory Coast kwa idadi ya magoli ya kufunga.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago