Wenyeji Equetorial Guinea leo wameanza vizuri mbele ya Rais na viongozi pamoja na mashabiki wa nchi hio baada ya kuifunga Libya bao 1-0, bao lililofungwa na Balboa katika dakika ya 87 bao ambalo ni muhimu katika historia ya soka nchini humo.
Kutokana na ushindi huo EQ Guinea inaongoza kundi A kwa point 3 na bao 1 huku ikisubiri matokeo ya mechi njingine kati ya Senegal na Zambia itamalizika itamalizikaje.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago