Mabao mawili yaliyofungwa na Mayuka katika dakika ya 12' na Kalaba dakika 20' ya kipindi cha kwanza yalitosha kuweza kuwafanya Chipolopolo kuondoka na point 3 muhimu katika pambano la pili la michuano ya Africa Nations Cup 2012,Senegal walijipatia bao lao pekee katika dakika ya 72' kwa bao lililofungwa na N'Doye.
Zambia wanaongoza kundi A kwa kuwa na point sawa na Equetoria Guinea lakini Chipolopolo wapo juu ya usukani kutokana na idadi zaidi ya mabao ya kufunga.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago