Real Madrid Imemsajili mshambuliaji hatari kutoka Brasil Luis Henrique dos Santos, maarufu kwa jina la "Pety" kwa mkataba wa jumla ya miaka 5.
"Petty" Kinda mwenye umri wa miaka 13 amesajiliwa baada ya Yosso huyo kufanikiwa kupita katika majario yake jijini Madrid majaribio ambayo yaliyofanyika kwa muda wa siku tano mfulululizo.
Ni kawaida kwa timu za barani Ulaya kutwaa nyota kutoka katika umri mdogo mara wanapogundua kama kinda huyo ana kipaji na sifa zote wataalamu wao wanazozitaka.
F.c Barçelona pia ilimtwaa mwanasoka wake bora na mchezaji bora duniani kwa sasa Leonel Messi kutoka Argentina akiwa na umri kama huo wa miaka 13 hivyo kuokoa mamilioni ya Euros kama wangelimkuta Messi akiwa kama sasa hivi kutonunilika kirahisi.
"Petty" Kinda mwenye umri wa miaka 13 amesajiliwa baada ya Yosso huyo kufanikiwa kupita katika majario yake jijini Madrid majaribio ambayo yaliyofanyika kwa muda wa siku tano mfulululizo.
Ni kawaida kwa timu za barani Ulaya kutwaa nyota kutoka katika umri mdogo mara wanapogundua kama kinda huyo ana kipaji na sifa zote wataalamu wao wanazozitaka.
F.c Barçelona pia ilimtwaa mwanasoka wake bora na mchezaji bora duniani kwa sasa Leonel Messi kutoka Argentina akiwa na umri kama huo wa miaka 13 hivyo kuokoa mamilioni ya Euros kama wangelimkuta Messi akiwa kama sasa hivi kutonunilika kirahisi.