F.c Basel imeichapa Beyern Muchen bao 1-0 katika pambano la Eufa Champions League lililofanyika katika uwanja wa Sankt Jakob Park mjini Basel katika pambano la awala la michuano hio,bao lililoizamisha Beyern lilifungwa na Valentin Stocker katika dakika ya 86.
Wakati huohuo Bao lililofungwa katika dakika ya 92 na Andre Ayew lilizidisha kuisambaratisha Inter Milan hivyo kuiweka katika wakati mgumu timu hio huku siku za kocha wao Claudio Ranieri zikiwa zinahesabika za kubakishwa klabuni hapo
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago