Chipukizi anaewasha moto kwa kupachika mabao wa F.c Twente ya Holland Ola John mwishoni mwa wiki iliyopita aliendeleza wimbi lake la upachikaji mabao baada ya kuifungia timu yake bao la tatu kati ya 4-1 F.c Twente waliyoshinda dhidi ya Vitesse Arnhem katika michuano ya ligi kuu ya Holland Eradivisie.Kinda huyo pia alitoa pasi bao la kwanza na kuchangia katika ufungaji wa mabao mengine ya timu yake katika pambano hilo.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago