Right To Dream ni Academy(R.T.D) iliyoanzishwa mwaka 1999 nchini Ghana kupitia kwa Muingereza Tom Vernon akishirikiana na wazalendo wengine wa nchini Ghana na kuipelekea Academy hio kufikia katika hatua kubwa ikiwa na Malengo makubwa kuliko umri wao ulivyo.
Pitia zaidi katika Website yao (R.T.D)kutoka katika Blog hii katika Soccer Links chini kushoto.