mabingwa hao waliandika karamu ya magoli kupitia kwa Messi aliefunga mabao 5 na kinda Tello katika dakika za
Messi 25’, 42’, 49’, 58’, 84’
na Tello 55’, 62’.
Katika pambano jingine la michuano hio kati ya APOEL Nicosia dhidi ya Olympic Lyon pambano lililochezwa kwa dakika 120 baada ya Apoel kushinda bao 1-0 katika dakika dakika 90 za kawaida matokeo ambayo yalikuwa kama hayo Lyon ilishinda nyumbani kwa bao 1-0 hivyo pambano hilo kuamuliwa kwa njia ya penalti.
Apoel Nicosia ya Syprus imeandika historia kwa kuwa timu ya kwanza ya nchi hio kuingia robo fainali ya michuano baada ya kushinda kwa jumla ya penalti 4-3 na Olympic Lyon kutupwa nje ya michuano hio.
Apoel Nicosia ya Syprus imeandika historia kwa kuwa timu ya kwanza ya nchi hio kuingia robo fainali ya michuano baada ya kushinda kwa jumla ya penalti 4-3 na Olympic Lyon kutupwa nje ya michuano hio.