Ac Milan imeingia robo fainali kwa jumla ya mabao 4-3.
Mabao ya Arsenal yalifungwa na Koscielny dakika ya 7,Rosický 26 na van Persie 43 kwa nji ya penalti.
Katika pambano jingine Benfica ya Ureno imesonga mbele hatua ya robo fainali baada ya kuifunga Zenit St Petersbug ya Urusi jumla ya mabao 2-0.
Mabao ya Benfica yalifungwa na Maxi Pereira dakika ya 45 na Oliveira dakika ya 92.
Benfica imesonga mbele kwa jumla ya mabao 4-3.