Real Madrid imejiweka katika hatua nzuri ya kuingia nusu fainali ya michunao ya kombe la Mabingwa wa bara la ulaya baada ya kuifunga Apoel Nicosia nyumbani kwao jumla ya mabao 0-3.
itakuwa ni kazi kubwa kwa Apoel kuweza kuifunga Real Madrid zaidi ya mabao manne kwa kwa bila katika uwanja wa Santiago Bernabéu mwezi ujao.Mabao ya Madrid yalifungwa na Benzema mara mbili na Kaká.
Katika Pambano jingine la michuano hio Chelsea pia ipo katika hatua nzuri ya kuvuuka hatua hio baada ya kushinda ugenini katika uwanja wa Estadio Da Luz mbele ya Benfica kwa bao 0-1.
bao pekee na muhimu katika pambano hilo lilifungwa na Kalou katika dakika ya 75.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago