Oranje Football Academy jana iliifunga timu ya Mwambao jumla ya mabao 3-1 katika mechi ya ligi ya soka ya vijana chini ya miaka 20 kutafuta washindi wa kundi la Unguja litakalokutana na wale washindi wa kundi kutoka Pemba la kumpata bingwa wa soka wa Zanzibar 2011/2012.
Mabao ya O.F.A yalipachikwa kimiani na Yunus Bernad alietundika mabao 2 na Yussuf Miraj bao.
katika pambano la wiki iliyopita O.F.A ilifungwa bao 1-0 na Kwahanu katika pambano gumu la ligi hio inayofikia mwisho wake mwishoni mwa wiki hii.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago