WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

.

.

.

.

.

.

MUDATHIR YAHYA

MUDATHIR YAHYA

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

SEIF ABDALLA "karihe"

SEIF ABDALLA "karihe"

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

www.ofaznz.net

Total Pageviews

Tuesday 18 October 2016

ECOLE DE FOOT WANA SIMBA MAMOUDZOU WAGENI WA O.F.A ZANZIBAR

Kituo cha kukuza soka kwa vijana nchini kimewapokea wageni wake vijana wenye vipaji vya hali ya juu ECOLE DE FOOT WANA SIMBA MAMOUDZOU   U/12   -  U/14  kutoka nchini COMORO  katika kuanzisha uhusiano na ushirikiano kati ya pande mbili hizo.

Vijana hao wadogo wenye vipaji ambao ni tegemeo la baadae katika soka barani Africa wameanza mazoezi rasmi na wanatarajiwa kucheza michezo kadhaa ya kirafiki nchini Zanzibar pamoja na kupata nafasi ya kutembelea sehemu kadhaa za visiwa hivyo.

Tunaomba Wanzanzibar na watanzania wote kwa ujula kutoa ushirikiano wao kwa ndugu zetu hawa ambao wameonyesha hisia zao zote za kutaka kuwaendeleza vijana hawa ambao ndio mafanikio ya bara letu hili kwa siku zijazo.
Tunatoa shukurani kwa wale wote wanaofuatilia kwa karibu ujio wa vijana ECOME DE FOOT WANA SIMBA MAMOUDZOU  tokea kufika kwao, mazoezini, pamoja na mechi hadi pale watakapokamilisha ziara hii ya Kimataifa .

Kwa niaba ya Orange Football Academy inakaribisha msaada wa aina yoyote kwa wageni wetu ambapo mtoaji anaweza kuwaona wageni hao moja kwa moja na kutoa msaada wowote ambao mtoaji ataona kuwa utawasaidia vijana hao wadogo ambao ni wageni wa taifa zima kwa ujumla.

Tunatoa shukurani za dhati kwa wale wote wanaoendelea kutoa ushirikiano wao wa chipukizi hawa kwa wakati wote watakapokuwa hapa nchini.