Oranje Football Academy wanaanza mazoezi leo katika viwanja vya nje vya mao tse tung kujiandaa na mechi yao ya Fainal ya knock-out ambayo inatarajiwa kuchezwa siku ya terehe
04-07-09 kati yake na F.C Arizona,
akitangaza mabadiliko hayo ya haraka ya kuanza mazoezi katibu mkuu wa O.F.A Hussein Ali aliiambia blog hii ya Academy ya O.F.A kuwa imetokana na habari zilizokuja haraka sana na huku wakiwa wamesimamisha mazoezi kwaajili ya mapumziko kwa vijana wake,
kuanzia leo jumatatu 29-06-09 mazoezi yataanza katika viwanja vya nje vya mao tse tung
vijana wa O.F.A wataingia kambini siku ya jumatano tarehe 01-07-09 kwaajili ya kujiandaa na fainal hio ambayo inatarajiwa kuwa ngumu kutokana na ubora wa wapinzani wao F.C Arizona kuwa na wachezaji wenye kucheza soka ya kuelewana na kujituma muda wote wa mchezo,
O.F.A wanatarajia kutoa burudani safi ya kutandaza soka kama kawaida yao na wanatarajia kushinda mechi hio ambayo itakuwa na upinzani mkubwa.
-------------------------------------------------------------------------------------------------
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago