Oranje football academy wanaingia kambili rasmi leo kwaajili ya kujiandaa na pambano la fainal ya knock-out youth U-17 ambayo itafanyika tarehe 04-07-09 kati yake na A.C. Arizona,
katibu mkuu wa O.F.A Ali Hussein ametangaza kuwa wachezaji wote wako katika hali nzuri na wataingia kambini leo kwaajili ya mechi hio ambayo itakuwa ni ya upinzani mkubwa, aliongeza katibu huyo kuwa wapo katika hali nzuri ya kushinda na kutwaa ubingwa huo ambapo ameahidi kuonyesha kandanda safi kutokana na vijana wake kuwa na vipaji vikubwa katika soka.
-------------------------------------------------------------------------------------------------
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago