WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

.

.

.

.

.

.

MUDATHIR YAHYA

MUDATHIR YAHYA

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

SEIF ABDALLA "karihe"

SEIF ABDALLA "karihe"

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

www.ofaznz.net

Total Pageviews

Wednesday 1 July 2009

ORANJE FOOTBALL ACADEMY KUINGIA KAMBINI LEO

Oranje football academy wanaingia kambili rasmi leo kwaajili ya kujiandaa na pambano la fainal ya knock-out youth U-17 ambayo itafanyika tarehe 04-07-09 kati yake na A.C. Arizona,
katibu mkuu wa O.F.A Ali Hussein ametangaza kuwa wachezaji wote wako katika hali nzuri na wataingia kambini leo kwaajili ya mechi hio ambayo itakuwa ni ya upinzani mkubwa, aliongeza katibu huyo kuwa wapo katika hali nzuri ya kushinda na kutwaa ubingwa huo ambapo ameahidi kuonyesha kandanda safi kutokana na vijana wake kuwa na vipaji vikubwa katika soka.
-------------------------------------------------------------------------------------------------