
katibu mkuu wa O.F.A Ali Hussein ametangaza kuwa wachezaji wote wako katika hali nzuri na wataingia kambini leo kwaajili ya mechi hio ambayo itakuwa ni ya upinzani mkubwa, aliongeza katibu huyo kuwa wapo katika hali nzuri ya kushinda na kutwaa ubingwa huo ambapo ameahidi kuonyesha kandanda safi kutokana na vijana wake kuwa na vipaji vikubwa katika soka.
-------------------------------------------------------------------------------------------------