Oranje football Academy wakiwa mazoezini kujitayarisha na final ya knock -out youth U-17,
baada ya kupoteza kutwaa ubingwa wa ligi ya U-17 na kuambulia nafasi ya 3, O.F.A wanaelekeza macho yao yote kwenye fainal hio ambapo wachezaji wote wanaendelea vizuri na mazoezi na wameahidi kuonyesha mchezo safi pamoja na kushinda mechi hio na kuweza kutwaa ubingwa wa mwaka huu.
-------------------------------------------------------------------------------------------------
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago