O.f.a wanaendelea na mazoezi kama kawaida na wakiwa na matumaini makubwa ya kushinda mechi ya fainal ya know-out,mpaka kulikuwa hakuna mchezaji yoyote anaesumbuliwa na maumivu na mazoezi yanaendelea kama kawaida tayari kwa kujiandaa na fainal hio ambapo vijana wa o.f.a wanaonekana kuwa na uchu wa kutandaza soka kama kawaida yao na kuweza kuibuka na ushindi katika mechi hio.
-------------------------------------------------------------------------------------------------
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago