WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

.

.

.

.

.

.

MUDATHIR YAHYA

MUDATHIR YAHYA

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

SEIF ABDALLA "karihe"

SEIF ABDALLA "karihe"

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

www.ofaznz.net

Total Pageviews

Friday 3 July 2009

DEN HEIJER KUKUTANA NA VIONGOZI PAMOJA NA WACHEZAJI WA ORANJE FOOTBALL ACADEMY

Mwandisho na mpangaji wa shughuli mbali mbali za kituo cha kukuza soka kwa vijana nchini O.F.A Isabel Den Heijer kutoka The Netherlands atakutana na viongozi wote pamoja na wachezaji wa O.F.A hivi karibuni katika tarehe ambayo itatolewa hapo baadae ya kufika kwake,

katika mambo mbali mbali ya kukuza soka kwa kituo hicho cha O.F.A ataweza kuwaona vijana hao pamoja na kuwa na mazungumzo na viongozi wote wa kituo hicho kwalengo la kupata ripoti mbali mbali na kubadilishana mawazo na malengo ambayo yatafatia katika siku za hivi karibuni,

moja ya malengo ambayo atayazungumzia ni kuweza kurejea Holland na ripoti nzuri ambazo ataweza kuanza kipango ya kukifanya kituo hicho kuwa na ushirikiano mkubwa na wakaribu kutoka Holland,ambapo lengo nikuifanya Holland kuwa ni kituo kikubwa cha majaribio pamoja na kuchezea vilabu mbali mbali vya hapo,

mbali na Holland pia Den Heijer ataweza kuandaa mipango rasmi ya kuiunganisha Belfast- Nothern Ireland kuwa pia ni moja ya vituo vya chipukizi hao wa O.F.A cha kupeleka wachezaji hao,

ataweza kuzungumzia pia kuhusu ushiriki wa O.F.A wa YOUTH MILK TOURNAMENT ambapo itafanyika mji wa Belfast-Nothern Ireland nakuzishirikisha timu mbali mbali za bara la ulaya pamoja na south america,

Den Heijer hivi sasa tayari wiki hii amewasili Nairobi-Kenya ambapo yupo kikazi,anatarajiwa kuwasili nchini mara baada ya kumaliza shughuli zake za kikazi ambapo atakuwepo nchini Kenya kwa muda miezi miwili kabla ya kuja nchini ambapo atakuwepo kwa muda wa wiki 2 hadi 3.