WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

.

.

.

.

.

.

MUDATHIR YAHYA

MUDATHIR YAHYA

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

SEIF ABDALLA "karihe"

SEIF ABDALLA "karihe"

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

www.ofaznz.net

Total Pageviews

Friday 3 July 2009

ORANJE FOOTBALL ACADEMY KUJITUPA KATIKA FAINAL YA KNOCK-OUT KESHO IKIWA NA UPUNGUFU MKUBWA WA NYOTA WAKE

Oranje Football Academy Kesho watajitupa kiwanja kwa ajili ya mchezo wa fainali na f c arizona akiongea na blog ya O.F..A katibu mkuu wa Huessein Ali alisema "mchezo wetu wa kesho utakuwa ni mgumu sana kwavile tutacheza tukiwa na upungufu ya wachezaji wetu wawili ambao wote wamo katika kikosi cha kwanza yaani 11, hii inatokana na vijana hao kuwemo katika mashindano ya copa coca cola ambayo yanafanyika dar es salaam kitaifa"

aliendelea kwa kusema "vijana hao wawili watakaokosekana kwa mchezo wa kesho wa fainali ni seif abdalla rashid (karihe) striker na ali hilal (lee) defender vijana hawa wanaweza kuisababishia timu kuwa na mchezo mgumu zaidi kwani kocha ampaka jana usiku alikua na matumaini makubwa ya kuwapata vijana hawa hasa kwa vile hivi sasa timu ina majeruhi katika nafasi za washambuliaji na viungo"

alimalizia kwa kusema "hata hivyo timu inategemea kuonesha kandanda safi na kushinda mchezo huo,mchezo huo unatarajiwa kufanyika saa 8 kamili za mchana katika kiwanja cha mao tse tung.