WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

.

.

.

.

.

.

MUDATHIR YAHYA

MUDATHIR YAHYA

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

SEIF ABDALLA "karihe"

SEIF ABDALLA "karihe"

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

www.ofaznz.net

Total Pageviews

Wednesday 22 July 2009

MABINGWA WA KNOCK-OUT,BONANZA CUP,NA WASHINDI WA TATU WA YOUTH U-17 KUFANYA ZIARA MANGA PWANI JUMAPILI

Mabingwa wa knock-out,bonanza cup,na washindi wa tatu wa ligi ya U-17 Oranje Football Academy jumapili ijayo tarehe 26-07-09 watakuwa ziarani katika mji wa Manga Pwani wilaya ya kaskazini B,
wakiwa huko wataweza kutembelea maeneo mbali mbali ya kihistoria pamoja na maeneo ya kitalii,
Wakaazi wa mji wa Manga Pwani na vitongoji vyake wataweza kupata burudani safi ya soka pale mabingwa hao Oranje football Academy watakaposhuka dimbani jioni hio kwa mchezo wa kirafiki na ALUTA timu ya daraja la pili ya mji huo wa Manga Pwani,
akiongea na mtandao huu wa O.F.A katibu mkuu ndugu Hussien alisema "Mpaka sasa mipango ya ziara hio inaendelea vizuri, na tunatarajia vijana wetu wataweza kupumzika vizuri kwa kuweza kubadilisha upepo wakiwa huko"
-------------------------------------------------------------------------------------------------
Captain Nassir akiwa na kombe la ubingwa wa knock-out 2009.
-------------------------------------------------------------------------------------------------
captain wa O.F.A akipokea zawadi ya jezi ambazo ni moja katika zawadi za ubingwa wa knock-out u-17 mwaka huu 2009.
-------------------------------------------------------------------------------------------------
wachezaji wa O.F.A Yussuf(kushoto)na Miraji(kulia) wakiwa wamebeba kombe la mshindi wa tatu wa ligi ya youth U-17 mwaka huu 2009.
-------------------------------------------------------------------------------------------------
Naibu waziri kiongozi na waziri wa habari utamaduni na michezo mh Ali Juma Shamhuna (katikati mwenye kofia)akiwa katika picha ya pamoja na mabingwa wa Bonanza cup O.F.A mara baada ya kuwakabidhi kikombe pamoja na zawadi ya Tsh 200,000 baada ya kuitandika Shangani f.c kwa mabao 3-0 mwanzoni mwa mwaka huu 2009.
-------------------------------------------------------------------------------------------------