WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

WELCOME "KARIBU" TO ORANGE FOOTBALL ACADEMY ZANZIBAR

.

.

.

.

.

.

MUDATHIR YAHYA

MUDATHIR YAHYA

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

SEIF ABDALLA "karihe"

SEIF ABDALLA "karihe"

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

www.ofaznz.net

Total Pageviews

Monday 20 July 2009

SEIF ABDALLA WA ORANJE FOOTBALL ACADEMY ACHAGULIWA KATIKA TIMU YA TAIFA YA VIJANA YA TANZANIA U-17 KUPITIA MKOA WA PWANI

Mshambuliaji hatari wa Oranje Football Academy Seif Abdalla ambae hivi sasa yupo kwa muda katika mji wa Bagamoyo amechaguliwa kuwa katika orodha ya mwanzo ya wachezaji wa timu ya taifa ya vijana ya Tanzania U-17 ambapo ametumia ticket ya mkoa wa pwani ambao aliuwakilisha katika mashindano ya copa coca cola yaliyomalizika mwishoni mwa wiki iliyopita,
mshambuliaji huyo chipukizi mwenye uwezo wa hali ya juu wa kumiliki mipira,kasi na uwezo mkubwa wa kufunga mabao amekuwepo kwa muda mjini Bagamoyo kwa muda ambapo amekuwa akifanya mazoezi na Academy moja maarufu ya mijini hapo,
kutokana na uwezo wake mkubwa na kipaji cha soka alichonacho hakikuchukua muda kwa kijana huyo wa Oranje Football Academy kuonekanwa katika mkoa huo wa pwani na kumuita kuiwakilisha timu hio,ambapo aliweza kungára na kuonyesha uwezo wake wa hali ya juu hata kumfanya kocha wa timu ya Taifa ya Vijana ya Tanzania kutoka Brasil kumuona na kumuita katika kikosi chake alichokiteua katika hatua ya mwanzo
-------------------------------------------------------------------------------------------------