Katika mechi ya kusherekea kumalizika kwa michuano ya vijana mwaka huu 2009 ambapo O.F.A imeweza kupata matokeo mazuri kwa michuano hio kwa ujumla, leo ilipambana na viongozi wa cadaemy hio ambao ni wachezaji wa zamani waliopata kusifika wakati wao katika soka kwa kuwaadhibu jumla ya mabao 2-0 katika mchezo safi na wakuvutia wa kubadilishana mawazo,
katika mechi hio ilikuwa na kila aina ya ufundi vijana wa oranje football academy iliweza kuwafundisha walimu wao soka ya kitabuni na kuweza kutawala mchezo huo kwa muda mrefu,
hadi mwisho wa mchezo chipukizi hao wa O.F.A alitoka kifua mbele dhidi ya viongozi kwa magoli 2-0,
Wakati huo huo Mshambuliaji hatari wa chipukizi wa Oranje football academy Seif Abdalla ambae hivi karibuni amekuwa katika academy ya mkoa wa pwani kwa muda amechaguliwa kuwa katika kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania U-17 iliyochaguliwa mwishoni mwa wiki ambapo Seif amechaguliwa akitokea mkoa wa Pwani, Seif Abdalla ni mshambuliaji alieleta mafanikio mengi katika Academy na ni mchezaji ambae ni tegemeo katika academy ya O.F.A
------------------------------------------------------------------------------------------------
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago