Watoto wa Oranje Football Academy U/14 leo wameendeleza tena kutembeza kipigo kwa kuitwanga timu ya Simba Kids jumla ya mabao 4-1 katika mechi iliyokwisha hivi punde katika kiwanja cha Mao-Tse-Tung B,
mabao ya watoto hao machachari wenye kucheza soka ya kufundishwa yalifungwa na Ali Adam mara 3 na Moh'd Omar bao moja.
hongera kwa vijana hao wadogo kwa kiwango wanachozidi kukionyesha katika ligi hio ya watoto walio na umri chini ya miaka 14.
vijana hawa wa U/14 ni hazina kubwa ambayo Oranje Football Academy inajivunia na kutarajia kupandisha nyota wake hao wadogo katika timu A ya wakubwa kila msimu.
kwa matokeo hayo ya leo U/14 wa O.F.A wanaongoza ligi kwa kushinda mechi 6,kopoteza i na sare moja hivyo kujikusanyia point 19.
nafasi pili inafatiliwa na timu yenye point 18 na timu 3 zinashika nafasi ya 3 huku zikipishana kwa idadi ya magoli ya kufunga na kufungwa zote zikiwa na point 17.
huku zikiwa bado mechi 3 za kukamilisha mzunguko huo wa makundi hadi hivi sana vijana wadogo wa O.F.A wako katika nafasi kubwa ya kusonga mbele katika hatua ya fainali ya ligi hio ya watoto walio chini ya umri wa miaka 14 msimu huu wa 2010.
.........................................................................................................................................................................
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago