Vijana wadogo wa Oranje Football Academy U/14 leo watajitupa katika kiwanja cha Mao Tse Tung B kupambana na vijana Hull City katika mechi ya Knock-out, mechi ambayo inatarajiwa kuwa na upinzani mkubwa,vijana O.F.A wapo tayari kwa ajili ya mechi hio ya leo itakayofanyika saa 9 jioni na itahakikisha inashinda mechi hio ili kuweza kusonga mbele katika mashindano hayo
..............................................................................................................................................................................
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago