Oranje Football Academy U-14 kesho watajitupa kiwanjani katika kombe la knock-out kwa kupambana na vijana wa Hull City mechi ambayo itafanyika katika kiwanja cha Mao Tse Tung B saa 9 jioni.
tunatarajia mechi itakuwa ya ushindani na vijana wa O.F.A wapo katika hali nzuri ya kuweza kushinda mechi hio ya kesho.
..............................................................................................................................................................................