Watoto wa Oranje Football Academy U/14 leo wamewafata kaka zao wa U/17 kwa kuingia robo fainali ya mashindano ya kombe la knock-out msimu huu wa 2010 kwa vijana chini ya umri wa miaka 14 baada ya kuifunga timu ya Villa Real bao 1-0.
Katika pambano hilo la leo vijana hao waliweza kucheza soka safi na kupoteza nafasi nyingi za kuweza kuibuka na ushindi mnono katika pambano lililofanyika katika kiwanja cha Mchangani Malindi.
Mshambuliaji hatari Moh'd Omar aliweza kuipeleka O.F.A katika robo fainali pale alipopachika bao muhimu ambalo lilitosha kuisukuma O.F.A katika robo fainal ambapo j/mosi 15-05-2010 watajitupa katika kianja cha Mao Tse Tung B saa 8 mchana kupambana na vijana wa Calypso f.c.
....................
Wakati huohuo ratiba kwa upande wa U/17 iliyotolewa leo inaonyesha Oranje Football Academy U/17 watakuwepo katika kiwanja cha Mao Tse Tung A siku hiohio kupambana na Kipigo F.C katika pambano la robo fainali
.........................................................................................................................................................................
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago