Mvu kubwa zinazoendelea kunyesha nchini jana zilisababisha kutofanyika kwa pambano kati ya Oranje Football Academy U16 dhidi ya Azam Znz pambano ambalo lilikuwa lifanyike katika kiwanja cha Mafunzo Ziwani,pambano hilo sasa litachezwa katika tarehe ambayo itatolewa hapo baadae.
--------
Kutokana na Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini Vijana wa U20 wakisumbuliwa na maji yaliyokuwepo kiwanjani waliweza kutoka suluhu 0-0 dhidi ya timu ya Idumu katika pambano lisilokuwa na msisimko wowote kutokana na hali mbaya ya kiwanja, hali ambayo iliwanyima vijana hao wa U20 kutandandaza soka kama kawaida hivyo hadi mwisho wa pambano hilo matokeo yalikuwa 0-0.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago