Raja Casablanca imetwaa ubingwa wa nchini Morocco baada ya kuifunga timu ya Olympic Khourigba mabao 2-1 huku ikibakiwa na mechi moja mokononi.
Raja imeweza kumaliza ndoto za wapinzani wao wakubwa Wydad za kutwaa ubingwa wa msimu huu.Timu zote mbili zipo katika jiji la Casablanca ambapo Raja itaingia uwanjani kumaliza ligi hio ikiwa na point 6 mbele ya mahasimu wao Wydad.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago