O.F.A U20 jana walizidisha kuzikandamiza timu zinazoshiriki fainali za 4 bora za kumpata bingwa wa soka wa Zanzibar michuano inayoendelea kisiwani Pemba baada ya kuifunga children soka Stars ya Pemba mabao 2-1 katika pambano lililofanyika katika kiwanja cha Polisi madungu.
Nyota wa U20 Mzee Kheri alipokea zawadi mara baada ya pambano hilo kwa kuteuliwa kuwa "man of the match" kutoka na uwezo mkubwa aliouonyesha katika pambano hilo.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago