Ghana imejiweka katika nafasi nzuri ya kucheza hatua ya robo fainali ya michuano ya CAN 2012 baada ya kuifunga Mali mabao 2-0 hivyo kujikusanyia jumala ya point 6 katika mechi mbili ilizocheza.Mabao ya Ghana yalifungwa na Gyan katika dakika ya 63 na Ayew 76.
Katika pambano jingine Guinea imeichabanga bila hunuma Botswana jumala ya mabao 6-1 katika uwanja wa Franceville,
mabao ya Guinea yalifungwa na
Diallo 15,27,
Camara 42,
Traore 45,
Bah 84,
Soumah Kalabane 86.
Bao pekee la Botswana amabo tayari wameyaaga mashindano baada ya kupoteza mechi zote mbili lilifungwa na Selolwane katika dakika ya 23 kwa njia ya penalti.
Ghana wamejiweka katika nafasi nzuri ya kusonga mbele baada ya kuwa na point 6,Guinea yenye point 3 na Mali point 3 na zote tatu zinauwezo wa kufikisha point 6 ambazo tayari zimefikiwa na Ghana hivyo kulifanya kundi hilo kusubiri hadi mechi ya mwisho kujua ni timu gani itasonga mbele hatua ya robo fainali.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago