Liverpool pamoja na kutoendelea na mwendo mzuri katika ligi kuu ya Barclay Primier League inaonekana kuwa makini zaidi katika makombe mengine ambapo imeingia fainali ya Carling cup baada ya kutoka sare na Manchester City 2-2 katika uwanja wa Enfield.
Liverpool imeingia fainali hizo baada ya kunufaika na ushindi wa 1-0 ilioupata baada ya kuifunga City nyumbani kwao katika pambano la kwanza la nusu fainali,kutokana na ushindi huo Liverpool imeingia Fainali kwa jumla ya mabao 3-2 ambapo watapambana na Cardiff City katika uwanja wa Wembley.
Mabao ya Liverpool yalifungwa na Gerald kwa penalti katika dakika ya 40 na Bellamy katika dakika ya 74 na Citizen walifunga mabao yao kupitia kwa De Jong dakika ya 31 na Dzeko dakika ya 67.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago