Leonel Messi wa F.c Barcelona na Argentine amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa soka duniani baada ya kushinda Ballon d'or na kuwapita Christian Ronaldo wa Real Madrid na timu ya taifa ya Portugal na Xavi Hernandez w F.c Barcelona na timu ya taifa ya Spain.
Hii ni mara ya tatu mfulululizo kwa nyota huyo wa F.c Barcelona kukwaa Tunzo hio na anakuwa ni mchezaji wa pili duniani kutwaa tunzo hio kwa mara ya tatu mfululizo ambapo ameweza kuifikia rekodi ya nyota na kaptain wa timu ya taifa ya ufaransa Michael Platini amabye sasa ni bosi wa UEFA,Messi ameweza kuzipita rekodi za wanasoka nyota wa zamani Zenedine Zidane wa Real Madrid na timu ya taifa ya France na Ronaldo De Lima pia mshambuliaji wa zamani wa Real Madrid na timu ya taifa ya Brasil kutwaa tunzo hio mara mbili mfululizo.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago