Ac Milan imeingia nusu fainali ya Coppa Italia baada ya kuifunga Lazio Roma jumla ya mabao 3-1.Cissé alianza kuifungia Lazio bao la kwanza katika dakika ya 5 kabla ya Milan kuamka na kuanza kurejesha bao hilo.
Mabao ya Milan yalifungwa na Robinho katika dakika ya 15,Seedorf dakika ya 18 na Ibrahimovic katika dakika ya 84.Ac Milan itakumbana na Juventus katika pambano la nusu fainali baada ya Juve kuitoa A.S Roma nje ya michuano hio .
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago