Tunisia imeweza kunyakua point 3 muhimu katika pambano lao la Group C baada ya kuifunga Morocco mabao 2-1 katika michuano ya Africa Nations Cup 2012.
Mabao ya Tunisia yalipachikwa na Korbi katika dakika ya 34' na Chretien dakika ya 76' wakati lile la Morocco lilifungwa na Kharja katika dakika ya 87'.
Executive Board begins with a focus on the new UNICEF Strategic Plan,
2018–2021
-
NEW YORK, United States of America, 7 February 2018 – The UNICEF Executive
Board opened its first regular session yesterday, welcoming its new
President fo...
6 years ago